Digidigi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Digidigi
Remove ads

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Digidigi ni wanyamapori wadogo wa jenasi Madoqua katika familia Bovidae. Wanyama hawa ni miongoni mwa wanyama wadogo kabisa wa Bovidae (kimo sm 30–40 begani, urefu sm 50–70 na uzito kg 3–6). Wanatokea savana kavu za Afrika kusini kwa Sahara. Jike ni mkubwa kidogo kuliko dume lakini dume ana pembe fupi na nyembamba. Wana ushungi kwa utosi unaoficha pengine pembe za dume. Rangi yao ni ya mchanga lakini mgongo una rangi ya majivu. Digidigi hula majani, matunda na beri. Wanapata maji ya kutosha kutoka chakula chao, kwa hivyo hawana haja ya kunywa.

Remove ads

Spishi

Picha

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Digidigi kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads