Dominique Mamberti

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Dominique François Joseph Mamberti (alizaliwa 7 Machi 1952) ni kiongozi wa Kanisa Katoliki kutoka Ufaransa, anayehudumu kama Prefekti wa Mahakama Kuu ya Kitume (Apostolic Signatura) katika Curia ya Kipapa.

Papa Fransisko alimteua kuwa kardinali mwaka 2015.[1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads