Donovan Mitchell

Mchezaji wa mpira wa kikapu wa Marekani From Wikipedia, the free encyclopedia

Donovan Mitchell
Remove ads

Donovan Mitchell Jr. (amezaliwa Septemba 7, 1996) ni mchezaji wa mpira wa kikapu wa kulipwa nchini Marekani wa timu ya Cleveland Cavaliers wa Chama cha mpira wa Kikapu Marekani (NBA). Jina la utani "Spida",[1] alichaguliwa katika raundi ya kwanza ya drafti ya Chama cha mpira wa kikapu Marekani mwaka 2017 na kusajiliwa na timu ya Utah Jazz, ambayo aliichezea kutoka 2017 hadi 2022. Yeye ni All-Star wa Chama cha mpira wa kikapu Marekani mara tano.

Thumb
Mitchell akiwa na timu ya Cleveland Cavaliers mnamo 2023
Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads