Dover, Delaware

From Wikipedia, the free encyclopedia

Dover, Delaware
Remove ads

Dover ni mji mkuu na wa pili kwa ukubwa katika jimbo la Delaware nchini Marekani.[1] Mji upo katika eneo la Mto wa Mt. Jones katika pwani tupu ya Mto Delaware. Mji ulipewa jina na William Penn kwa ajili ya Dover huko Kent, Uingereza. Na kwa mwaka wa 2007, mji ulikadiriwa kuwa na wakazi wapatao 35,811.[2]

Thumb
Sehemu ya mkoa wa Dover, Delaware
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Remove ads

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads