Dushanbe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Dushanbe
Remove ads

Dushanbe (Kitajiki: Душанбе, دوشنبه) ni mji mkuu wa Tajikistan ikiwa na wakazi 562,000.

Ukweli wa haraka Nchi, - Wakazi kwa ujumla ...
Thumb
Dushanbe kituo cha treni

Jina limetokana na neno la Kiajemi kwa "Jumatatu" (du "mbili" + shanbe "siku" yaani "siku ya pili") kwa sababu mji ulianzishwa kama mahali pa soko kwenye siku ya Jumatatu.

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Dushanbe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads