Asia

bara From Wikipedia, the free encyclopedia

Asia
Remove ads
Remove ads

Asia ni bara kubwa kabisa kuliko mabara yote mengine ya dunia. Bara hili lina eneo la kilomita za mraba 44,579,000 (maili za mraba 17,212,000), ambalo ni sawa na asilimia 30% ya ardhi yote. Wakazi wa bara la Asia ni 3,701,000,000 kwa mujibu wa makisio 2003.

Thumb
Asia

Bara la Asia lina nchi 44 na visiwa mbali mbali vya madola mbalimbali. Mlima mrefu kabisa ulimwenguni ambao ni mlima wa Everesti wenye urefu wa mita 8,850 (futi 29,035) ulioko Nepal pia uko kwenye bara hili. Kadhalika, nchi zenye wakazi wengi zaidi ulimwenguni China na India pia ziko kwenye bara hili.

Ziwa kubwa kabisa ulimwenguni, bahari ya Kazwini (Caspian Sea) lenye eneo la kilomita za mraba 394,299 (maili za mraba 152,239) vile vile liko Asia kati ya ya nchi hizi: Azerbaijan, Urusi, Kazakhstan, Turkmenistan, na Uajemi.

Bara la Asia linaweza kugawanywa katika sehemu zifuatazo:

Remove ads

Orodha ya nchi na maeneo

Thumb
     Asia ya Kaskazini      Asia ya Kati      Asia ya Magharibi      Asia ya Kusini      Asia ya Mashariki      Asia ya Kusini-Mashariki
Maelezo zaidi Jina la nchi au eneo, bendera, Eneo (km²) ...
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads