Eddie Murphy

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eddie Murphy
Remove ads

Edward "Eddie" Regan Murphy (amezaliwa tar. 3 Aprili 1961, Brooklyn, New York City) ni mwigizaji wa filamu, mchekeshaji, na mwimbaji kutoka nchini Marekani. Eddie, pia amewahi kupata Tuzo ya Golden Globe mnamo mwaka wa 2006 na pia aliwahi kushindanishwa katika ugawaji wa Tuzo ya Academy mnamo mwaka wa 2001. Alikuwa mwanachama wa kawaidia kwenye kipindi cha TV cha Saturday Night Live kuanzia 1980 hadi 1984.

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Miaka ya kazi ...
Remove ads

Filamu

Maelezo zaidi Filamu, Mwaka ...
Remove ads

Viungo vya Nje

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Eddie Murphy kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads