Eddie Murphy
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Edward "Eddie" Regan Murphy (amezaliwa tar. 3 Aprili 1961, Brooklyn, New York City) ni mwigizaji wa filamu, mchekeshaji, na mwimbaji kutoka nchini Marekani. Eddie, pia amewahi kupata Tuzo ya Golden Globe mnamo mwaka wa 2006 na pia aliwahi kushindanishwa katika ugawaji wa Tuzo ya Academy mnamo mwaka wa 2001. Alikuwa mwanachama wa kawaidia kwenye kipindi cha TV cha Saturday Night Live kuanzia 1980 hadi 1984.
Remove ads
Filamu
Remove ads
Viungo vya Nje
- Eddie Murphy at the Internet Movie Database
- Eddie Murphy katika Movies.com
- Eddie Murphy on Discogs
- Eddie Murphy Media Site Ilihifadhiwa 25 Desemba 2007 kwenye Wayback Machine.
- Maxim Rated Top SNL performer Ilihifadhiwa 20 Aprili 2008 kwenye Wayback Machine.
- Eddie Murphy.co.uk Ilihifadhiwa 21 Juni 2018 kwenye Wayback Machine.
![]() |
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani wa Marekani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Eddie Murphy kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads