Elinewinga
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Elinewinga (alizaliwa Masama Ng'uni) alikuwa Mmachame wa kwanza kwenda Chuo Kikuu cha Makerere, Uganda kusomea elimu ya juu. Baadaye alikuja kuwa mbunge wa Hai na waziri.
![]() |
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads