Elizabeth Chijumba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Elizabeth Chijumba (maarufu kwa jina la "Nikita"; pia akijulikana kama "Fathia Chijumba", jina alilobadili baada ya kufunga ndoa na msanii mwenzake Khlafan maarufu kwa jina la Kevin [1]; alizaliwa 1982) ni mwanamke Mtanzania mwigizaji wa filamu za mapigano, pia mwandishi na mwongozaji wa filamu.

Ukweli wa haraka

Baadhi ya filamu alizoigiza ni "Central Intelligent Department(CID)", Jumba la Dhahabu, The stolen Will akiwa na Steven kanumba pia katika filamu inayoitwa My Country.

Alisoma katika shule ya msingi ya Oysterbay jijini Dar-es-Salaam na baadae kuhamia katika shule ya msingi Mzumbe mkoani Morogoro [2].

Aliingia katika vinyang'anyiro vya mwandishi bora wa filamu na mwigizaji bora wa kike akibebwa na filamu ya "Copy" katika tuzo za Vinara wa Filamu Tanzania [3]

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads