Elon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Elon (kwa Kiebrania אֵילֹן, Elon, ʼÊlōn, "Mwaloni") alikuwa mmojawapo kati ya Waamuzi wa Biblia.
Kadiri ya Waamuzi 12:11 alikuwa wa kabila la Zebuluni akaongoza Israeli kwa miaka 10[1].
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads