Elon

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Elon (kwa Kiebrania אֵילֹן‎‎, Elon, ʼÊlōn, "Mwaloni") alikuwa mmojawapo kati ya Waamuzi wa Biblia.

Kadiri ya Waamuzi 12:11 alikuwa wa kabila la Zebuluni akaongoza Israeli kwa miaka 10[1].

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads