Emmanuel John Nchimbi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Emmanuel John Nchimbi
Remove ads

Emmanuel John Nchimbi (amezaliwa 24 Desemba 1971) ni Balozi wa Tanzania nchini Brazil. Kabla ya kuwa balozi, Emmanuel John Nchimbi, alipata kuwa mbunge wa jimbo la Songea Mjini katika bunge la kitaifa nchini kwa miaka kumi Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

'

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Kazi yake ...

Mnamo tarehe 15 Januari 2024 aliteuliwa na Halmashauri kuu ya CCM kuwa katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi. [2]


Remove ads

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads