Emmanuel John Nchimbi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Emmanuel John Nchimbi (amezaliwa 24 Desemba 1971) ni Balozi wa Tanzania nchini Brazil. Kabla ya kuwa balozi, Emmanuel John Nchimbi, alipata kuwa mbunge wa jimbo la Songea Mjini katika bunge la kitaifa nchini kwa miaka kumi Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
'
Mnamo tarehe 15 Januari 2024 aliteuliwa na Halmashauri kuu ya CCM kuwa katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi. [2]
Remove ads
Tazama pia
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads