Emmy
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Emmy Award au Tuzo za/ya Emmy (pia inajulikana kama 'Emmy') ni tuzo ya matayarisho ya televisheni. Kwa asili inaonekana kufanana na tuzo za Peabody, lakini hii inashughulika sana na masuala ya burudani, na itazamika kuwa iko sawa na kile kipindi cha televisheni cha Academy Award (kwa ajili ya filamu), Grammy Award (kwa ajili ya muziki) na Tony Award (kwa ajili ya maigizo).[1][2]
Hutoa zawadi kwa ajili sekta mbalimbali ya soko la televisheni, ikiwemo na vipindi vya burudani, habari na makala ya TV, na vipindi vya michezo. Kwa maana hiyo, zawadi hutolewa katika kila baadhi ya maeneo ambapo sherehe hizi hufanyika kila ifikapo baada ya mwaka.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads