Eneo bunge la Kinangop
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Eneo bunge la Kinangop ni eneo bunge la uchaguzi nchini Kenya. Ni mojawapo wa maeneo bunge matano katika Kaunti ya Nyandarua. Eneo bunge hili lina wadi tano, zote ambazo huwachagua madiwani katika Baraza la Mji wa Nyandarua. Eneo bunge hili lilianzishwa kwa ajili ya uchaguzi wa 1988.
Halifai kutatanishwa na Eneo Bunge la Kinango lililo katika Wilaya ya Kwale.
Remove ads
Wabunge
Wadi

Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads