Eneo bunge la Kinangop

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eneo bunge la Kinangop
Remove ads

Eneo bunge la Kinangop ni eneo bunge la uchaguzi nchini Kenya. Ni mojawapo wa maeneo bunge matano katika Kaunti ya Nyandarua. Eneo bunge hili lina wadi tano, zote ambazo huwachagua madiwani katika Baraza la Mji wa Nyandarua. Eneo bunge hili lilianzishwa kwa ajili ya uchaguzi wa 1988.

Halifai kutatanishwa na Eneo Bunge la Kinango lililo katika Wilaya ya Kwale.

Remove ads

Wabunge

Maelezo zaidi Mwaka wa Uchaguzi, Mbunge ...

Wadi

Thumb
North Kinangop
Maelezo zaidi Wadi, Wapiga kura waliosajiliwa ...

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads