Eneo bunge la Mwala
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Eneo bunge la Mwala ni moja kati ya Majimbo 290 ya uchaguzi nchini Kenya. Linapatikana katika Kaunti ya Machakos, miongoni mwa majimbo naneya kaunti hiyo. Jimbo hili lina wodi saba, zote zikiwachagua madiwani kwa baraza la Masaku County.
Remove ads
Historia
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi Mkuu wa 1988.
Wabunge
Kata na Wodi
Tazama Pia
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
