Esther Mwaikambo

Daktari wakike kutoka Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Esther Daniel Mwaikambo (alizaliwa mwaka 1940)[1] ni daktari wa nchini Tanzania aliyebobea katika tiba ya magonjwa ya watoto wadogo.

Ukweli wa haraka

Anafanya kazi katika Chuo Kikuu cha Makumbusho ya Hubert Kairuki (The Hubert Kairuki Memorial University)[2].

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads