Europe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Europe ni bendi ya muziki wa rock kutoka nchini Uswidi, ambayo ilianzishwa mjini Upplands Väsby mnamo 1979 ikiwa chini ya jina la Force. Bendi ilianzishwa na mwimbaji Joey Tempest na mpiga gitaa John Norum. Muziki mzima wa bendi hii hutumia metali zito na elementi kadhaa za hard rock au rock ya kigumu. Tangu kuanzishwa kwake, Europe imepata kutoa albamu nane za studio, tatu albamu za live, tatu kompilesheni na video nane.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads