Fabrice Kwizera

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Fabrice Patient Kwizera (Bujumbura, 28 Machi 1994) ni msanii wa maigizo na filamu kutoka nchini Burundi. Katika historia ya tasnia ya filamu nchini Burundi, Kwizera anajulikana kua ameigiza katika filamu fupi kutoka inchini Congo inayo itwa Viva Riva!.

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Kazi yake ...
Remove ads

Maisha

Fabrice alianza masomo yake katika shule ya msingi ya Cibitoke, na kuendela na masomo ya sekondari huko Municipal Lycee of Cibitoke na baadae kupata uhamisho katika shule moja jijini Bujumbura iitwayo Lake Tanganyika Lycee. Alivyomaliza kidato cha mwisho ndipo alianza shuli za kucheza filamu alipo kutana na mutayarishaji Ivan Goldschmidt kutoka inchini Ubelgiji.

Filamu na Tamthilia Alizotunga

  • 2010 : Na Wewe (Na Wewe: Swahili) – Kama Rebel
  • 2010 : Viva Riva! Ya Djo Tunda Wa Munga – Kama Jason.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Fabrice Kwizera kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads