Falsafa ya elimu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Falsafa ya elimu
Remove ads

Falsafa ya elimu ni utafiti wa kifalsafa juu ya kusudi, utaratibu na ubora wa elimu, kwa kuchunguza ufafanuzi, malengo na maana ya elimu kwa jumla au ya mtazamo mmojawapo juu yake.

Thumb
Kitabu cha John Locke "Baadhi ya Mawazo Kuhusu Elimu" kiliandikwa mwaka 1693 na bado elimu ya jadi huonyesha vipaumbele katika Nchi za Magharibi.

Falsafa ya elimu kwa kawaida huonwa kama tawi la falsafa na la elimu vilevile.

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads