Tawi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tawi

Tawi (kwa Kiingereza: branch) ni sehemu ya mti isiyokuwemo katika shina lake.

Thumb
Matawi ya vipimo mbalimbali.
Thumb
Matawi na majani.

Kulingana na aina ya mti, matawi yake yanaweza na umbo na ukubwa tofauti sana.

Kwa mfano wa miti, vitu vingine vinaweza kuwa na matawi, kwa mfano: mto (tawimto), kampuni (kampuni tanzu) n.k.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.