Federation Aeronautique Internationale

From Wikipedia, the free encyclopedia

Federation Aeronautique Internationale
Remove ads

Federation Aeronautique Internationale (FAI) ni jina rasmi la Shirikisho la Kimataifa kwa Michezo katika Angahewa. Michezo katika angahewa pamoja na mashindano inaendeshwa kwa kutumia eropleni ndogo za burudani, ndege za nyiririko, parachuti na puto.

Thumb
Mfano wa ndege ya mchezo wa angahewa

Shirikisho hili lilianzishwa mwaka 1905 mjini Paris na makao makuu yapo Lausanne, Uswisi. Shirika inatambuliwa kimataifa kam mtunza wa rekodi katika fani hizi pamoja na usafiri kwenye anga-nje.

Remove ads

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads