Federation Aeronautique Internationale
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Federation Aeronautique Internationale (FAI) ni jina rasmi la Shirikisho la Kimataifa kwa Michezo katika Angahewa. Michezo katika angahewa pamoja na mashindano inaendeshwa kwa kutumia eropleni ndogo za burudani, ndege za nyiririko, parachuti na puto.

Shirikisho hili lilianzishwa mwaka 1905 mjini Paris na makao makuu yapo Lausanne, Uswisi. Shirika inatambuliwa kimataifa kam mtunza wa rekodi katika fani hizi pamoja na usafiri kwenye anga-nje.
Remove ads
Viungo vya nje
- https://www.fai.org/ Tovuti rasmi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads