Paris

mji mkuu wa Ufaransa From Wikipedia, the free encyclopedia

Paris
Remove ads

Paris (kwa Kifaransa: Fr-Paris.oga [paʁi] (info)) ndiyo mji mkuu na mji mkubwa wa Ufaransa ukiwa na wakazi 2,140,526 mwanzoni mwa mwaka 2019.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Thumb
Sehemu mojawapo katika mji wa Paris
Remove ads

Jiografia

Mji wa Paris unapatikana katika Ufaransa ya kaskazini.

Mto Seine unatiririka kupitia mji huo.

Picha


Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Paris kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads