Friesland

From Wikipedia, the free encyclopedia

Friesland
Remove ads

Friesland ni mkoa ulioko kaskazini mwa Uholanzi. Jina lake linatokana na wafrisia. Friesland inapakana na Flevoland na Overijssel upande wa kusini, Groningen upande wa mashariki, Bahari ya Wadden upande wa magharibi, na Ujerumani upande wa kaskazini.Friesland ina idadi ya watu takriban 650,000 na eneo la kilomita za mraba 5,749.Kifrisia cha magharibi na Kiholanzi ndizo lugha rasmi zinazozungumzwa Friesland, mandhari nzuri, na urithi wake wa kiutamaduni, ikijumuisha ziara maarufu ya sketi ya barafu ya miji kumi na moja na mila za baharini za kipekee.Leeuwarden ndio mji mkuu na jiji Kubwa la Friesland.

Ukweli wa haraka Friesland Provinsje Fryslân (Kifrisia cha magharibi) Provincie Friesland (Kiholanzi), Mji mkuu na mkubwa ...
Thumb
Sehemu ya mkoa wa Friesland
Thumb
Mahali pa Friesland katika Uholanzi
Remove ads

Viungo vya nje

Ukweli wa haraka


Makala hii kuhusu maeneo ya Uholanzi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Friesland kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads