Fujairah
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Fujairah (kwa Kiarabu: الفجيرة) ni emirati mojawapo ya Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni, upande wa Ghuba ya Oman. Peke yake inaundwa na milima kwa kiasi kikubwa.


Mtawala wake ni Sheikh Hamad bin Mohammed Al Sharqi.
Utemi una wakazi 225,360 (2016[2]) katika eneo la km² 1,166.
Remove ads
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads