Futari

From Wikipedia, the free encyclopedia

Futari
Remove ads

Futari (kutoka neno la Kiarabu iftar) ni chakula maalum ambacho huliwa katika mwezi wa Ramadhani wakati wa jioni baada ya kufunga.

Thumb
Watu wakila futari pamoja.

Ndiyo chakula cha pili cha siku; kufunga kwa kila siku wakati wa Ramadan huanza mara moja baada ya chakula cha asubuhi ya Suhur, ukamalizika wakati wa jioni na ndipo futari huliwa.

Maelezo

Futari ni mojawapo ya chakula cha kidini ambacho huliwa wakati wa Ramadani na mara nyingi hufanyika na jamii, yaani watu wanakusanyika ili kufuturu pamoja. Futari inachukuliwa tu kabla ya Maghrib, yaani machweo. Waislamu wengi wanaamini kuwa kulisha mtu kamatar kama namna ya sadaka na yenye manufaa sana na kwamba hayo yalifanywa hata na Mtume Muhammad.

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads