Asubuhi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Asubuhi
Remove ads

Asubuhi (kutoka Kiarabu: صباح) ni kipindi cha siku ambacho kinaleta mwanga wa kwanza wa mchana baada ya giza la usiku.

Thumb
Yosemite Valley wakati wa asubuhi.

Kwa binadamu na wanyama wengi ndio wakati wa kuamka kwa kutoka usingizini ili kuanza shughuli mbalimbali.

Katika dini mbalimbali, ni wakati muhimu wa sala.

Maelezo zaidi Vipindi vya siku ...
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads