Gabriel Batistuta

mchezaji wa mpira wa Argentina From Wikipedia, the free encyclopedia

Gabriel Batistuta
Remove ads

Gabriel Omar Batistuta (alizaliwa 1 Februari 1969) alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu wa Argentina maarufu kama Batigol[1].

Thumb

Ni kati ya wachezaji bora wa nyakati zote, hasa kutokana na shuti zake kutoka mbali.[2][3]

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads