Go-Sakuramachi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Go-Sakuramachi
Remove ads

Go-Sakuramachi (23 Septemba 174024 Desemba 1813) alikuwa mfalme mkuu wa 117 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Satoko. Tarehe 15 Septemba 1762 alimfuata kaka yake, Momozono, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 1771. Aliyemfuata ni mpwa wake, Go-Momozono.

Thumb
Mchoro wa Go-Sakuramachi

Angalia pia

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Japani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Go-Sakuramachi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads