Gordiani wa Roma
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Gordiani (alifariki Roma, 300 hivi) alikuwa Mkristo wa Roma ya Kale ambaye aliuawa kwa ajili ya imani yake na kuzikwa karibu na mfiadini Epimaki hivi kwamba wameheshimiwa pamoja ingawa hawakuwa pamoja maishani[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads