Greccio

From Wikipedia, the free encyclopedia

Greccio
Remove ads

Greccio ni kijiji cha wilaya ya Rieti, mkoa wa Lazio, Italia ya kati, maarufu hasa kwa uhusiano wake na Fransisko wa Asizi aliyeanzisha huko desturi ya Pango la Bethlehemu ili kudumisha kumbukumbu ya jinsiYesu alivyozaliwa.

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

Thumb
Kijiji cha Greggio.
Thumb
Konventi ya Wafransisko ya Greccio.
Remove ads

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads