Gridi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Gridi
Remove ads

Gridi au mistari gridi (kwa Kiingereza: grid au gridlines) inamaanisha mfululizo wa mistari inayopitana katika fani ya uchoraji. Gridi zinatumia kawaida ili kupanga na kuchora michoro.

Thumb
Gridi zinazotumika ili kuchora bendera ya Kanada.

Kwa maana tofauti neno linatumiwa kutaja gridi ya umeme.

Marejeo

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads