Guadalquivir

From Wikipedia, the free encyclopedia

Guadalquivir
Remove ads

Guadalquivir ni mto nchini Hispania na mto mkubwa wa Andalusia.

Thumb
Mto Guadalquivir umepita katika mji wa Sevilla
Ukweli wa haraka

Jina limetokana na lugha ya Kiarabu "Wadi al-Kabir (الوادي الكبير)" yaani "mto mkubwa".

Chanzo kipo katika milima ya Sierra de Cazorla halafu mto unapita miji ya Córdoba na Sevilla ukiishia katika ghuba ya Cadiz kwenye Atlantiki.

Guadalquivir ni mto pekee wa Hispania unaopitika kwa meli za bahari wanaofika hadi Sevilla.

Makala hii kuhusu maeneo ya Hispania bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Guadalquivir kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads