Heather Payne

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Heather Margaret Payne (alizaliwa 26 Januari 2000 [1]) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Ireland ambae anacheza kama kiungo katika klabu ya Everton inayoshiriki katika Ligi Kuu ya Wanawake (WSL) na timu ya taifa ya wanawake ya Jamhuri ya Ireland.[2]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads