Himaya (biolojia)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Himaya (kwa Kiingereza: Kingdom) ni ngazi inayotumika katika biolojia kuainisha viumbehai wote katika makundi.

Thumb
Ngazi za uainishaji katika biolojia; ngazi ndogo za kati hazionyeshwi.

Himaya ni migawanyiko ya domeni, halafu kila himaya imegawanyika katika faila kadhaa.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads