Hulk Hogan
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Terry Gene Bollea[1][2] ( / bə ˈl eɪ ə / ; 11 Agosti 1953 - 24 Julai 2025), alimaarufu kama Hulk Hogan, alikuwa mwanamieleka mtaalamu wa Marekani. Alijulikana sana kwa kazi yake na WWE na Mieleka ya Ubingwa wa Dunia . Anajulikana kwa muonekano wake wa masharubu ya rangi ya shaba na bandana, Hogan alijulikana sana kama nyota anayetambulika zaidi wa mieleka duniani kote.[3]

Remove ads
Hogan alifariki kwa mshtuko wa moyo nyumbani kwake Clearwater, Florida, Julai 24, 2025, akiwa na umri wa miaka 71.[4] Kifo chake kilikuja mwezi mmoja baada ya kufanyiwa upasuaji mkubwa wa kuunganisha uti wa mgongo; mkewe Sky alikanusha ripoti kwamba ilikuwa sehemu ya suala kubwa zaidi linalohusiana na afya.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads