Huntha

From Wikipedia, the free encyclopedia

Huntha
Remove ads

Huntha (kwa Kiingereza: hermaphrodite, kutokana na neno la Kigiriki ἑρμαφρόδιτος, hermaphroditos) ni mmea au mnyama mwenye jinsia mbili[1].

Thumb
Picha ya Hylocereus undatus inatoa mfano wa mmea huntha.
Thumb
Kononono (Cornu aspersum wakijamiana.

Kwa mimea hali hiyo ndiyo ya kawaida, kumbe kwa wanyama ni 0.7%.

Inakadiriwa kuna spishi 65,000 tu kati ya 8,600,000 hivi[2] za wanyama huntha[3], lakini si binadamu, hata kama huyo amezaliwa pengine na viungo vya uzazi visivyoeleweka. Kinachotambulisha jinsia ya mtu ni chembeuzi Y kuwepo (mwanamume) au kutokuwepo (mwanamke).

Remove ads

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads