J.C. Lodge
Mwanamuziki wa Jamaika From Wikipedia, the free encyclopedia
J.C. Lodge (kirefu: June Carol Lodge[1], 1 Desemba 1958) ni mwimbaji wa reggae mchoraji mzuri na mwalimu mwenye asili ya Britania na Jamaika.
Wimbo wake wa kwanza mkubwa Someone Loves You, Honey uligeuka kuwa wimbo ulioongoza mauzo mwaka 1982 nchini Uholanzi. Lodge pia ni mchoraji aliyefaulu akiwa ameonyesha kazi zake katika maktaba ya sanaa ya Kingston na ameshiriki katika uzalishaji kadhaa wa theatre.[2][3][4]
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.