Jamal E Malinzi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Jamal Malinzi ni msimamizi wa zamani wa mpira wa miguu kutoka nchini Tanzania. [1] Alikuwa raisi wa Chama cha Soka Tanzania (TFF) kuanzia 2013 hadi 2017. [2]
Malinzi na Oden Mbaga ni miongoni mwa wasimamizi wa masuala ya soka nchini Tanzania waliopigwa marufuku na Kamati ya Maadili ya FIFA kushiriki masuala ya mpira wa miguu. [3] [4]
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads