Jamal Kassim Ali

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Jamal Kassim Ali (amezaliwa 14 Novemba 1984) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Magomeni kwa miaka 20152020. Amechaguliwa kuwa waziri wa nchi ofisi ya rais fedha na mipango Zanzibar mnamo Novemba 2020.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads