Jennifer Bash

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Jennifer Bash ni mwanamke mjasiriamali maarufu katika kilimo nchini Tanzania.

Ukweli wa haraka

Pia ni mwanzilishi wa kampuni inayoitwa AKTZ Industries Ltd inayojihusisha na utengenezaji wa vyakula vyenye chapa ya Alaska Tanzania[1].

Kutokana na jitihada zake katika ujasiriamali, alifanikiwa kuzawadiwa tuzo na kampuni ya utangazaji ya Clouds Media Group mwaka 2016 kama mwanamke aliyefanikiwa katika biashara ya kilimo.

Remove ads

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads