Jimbo la Uchaguzi la Nakuru Town

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Jimbo la Uchaguzi la Nakuru Town lilikuwa Jimbo la uchaguzi nchini Kenya, moja kati ya majimbo sita ya uchaguzi katika Wilaya ya Nakuru. Sehemu yote ya jimbo hili ilipatikana chini ya Baraza la Munisipali ya Nakuru.

Historia

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi mkuu wa 1963, kwa hivyo ni mojawapo ya majimbo ya uchaguzi ya kwanza kabisa nchini Kenya baada ya Uhuru.

Wabunge

Maelezo zaidi Mwaka, Mbunge ...
Remove ads

Lokesheni na Wodi

Maelezo zaidi Lokesheni, Idadi ya watu* ...
Maelezo zaidi Wodi, Wapiga Kura waliosajiliwa ...

Tazama Pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads