Jimbo la Uchaguzi la Nakuru Town
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Jimbo la Uchaguzi la Nakuru Town lilikuwa Jimbo la uchaguzi nchini Kenya, moja kati ya majimbo sita ya uchaguzi katika Wilaya ya Nakuru. Sehemu yote ya jimbo hili ilipatikana chini ya Baraza la Munisipali ya Nakuru.
Historia
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi mkuu wa 1963, kwa hivyo ni mojawapo ya majimbo ya uchaguzi ya kwanza kabisa nchini Kenya baada ya Uhuru.
Wabunge
Remove ads
Lokesheni na Wodi
Tazama Pia
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads