Jimbo la Yamoussoukro

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Jimbo la Yamoussoukro au Jimbo huru la Yamoussoukro (kwa Kifaransa: District autonome de Yamoussoukro) ni moja kati ya majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire na ni moja kati ya majimbo huru mbili za nchi. Uko katikati ya nchi.

Ukweli wa haraka Nchi, - Wakazi kwa ujumla ...

Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 355,573.

Makao makuu yako Yamoussoukro.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads