Jimbo la Yamoussoukro
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Jimbo la Yamoussoukro au Jimbo huru la Yamoussoukro (kwa Kifaransa: District autonome de Yamoussoukro) ni moja kati ya majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire na ni moja kati ya majimbo huru mbili za nchi. Uko katikati ya nchi.
Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 355,573.
Makao makuu yako Yamoussoukro.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Cote d'Ivoire bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Jimbo la Yamoussoukro kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads