Jina rasmi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Jina rasmi la nchi, mtu, taasisi n.k. ni lile linalokubalika kisheria, hata kama ni tofauti na lile lililozoelekaz zaidi, kama jina fupi, jina la kisanii, jina la kitawa n.k.
Dola la Roma liliruhusu watu kujibadilisha jina, mradi kusiwe na lengo la kijanja au kusababisha hatari[1], lakini siku hizi nchi nyingi zimepanga taratibu ngumu.
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads