Jina rasmi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Jina rasmi la nchi, mtu, taasisi n.k. ni lile linalokubalika kisheria, hata kama ni tofauti na lile lililozoelekaz zaidi, kama jina fupi, jina la kisanii, jina la kitawa n.k.

Dola la Roma liliruhusu watu kujibadilisha jina, mradi kusiwe na lengo la kijanja au kusababisha hatari[1], lakini siku hizi nchi nyingi zimepanga taratibu ngumu.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads