Johannes Rebmann
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Johannes Rebmann (16 Januari 1820 – 4 Oktoba 1876) alikuwa mmisionari wa pili wa Uprotestanti nchini Kenya kuanzia mwaka 1846 hadi 1875 akachunguza lugha ya Kiswahili na nyinginezo, akishirikiana kwanza na Johann Ludwig Krapf. Rebmann alikuwa Mlutheri, lakini alipewa ukasisi katika Ushirika wa Kianglikana. Ndiye Mzungu wa kwanza kuona mlima Kilimanjaro. Taarifa hiyo ilipofika Ulaya ilichekwa na wataalamu waliodai milima yenye theluji haiwezekani Afrika.
Remove ads
Marejeo
- Goodson, Andrew (2011, revised 2015). Salimini's Chichewa in Paas, Steven (2011). Johannes Rebmann: A Servant of God in Africa before the Rise of Western Colonialism, pp. 239–50. (An examination of the Chichewa in Rebmann's Dictionary of the Kiniassa Language)
- Gütl, Clemens (2001). Do' Missionar vo' Deradenga.
- Gütl, Clemens (2002). Memoir on the East African Slave trade. - publication of an unpublished document from 1853.
- Krapf, Johann Ludwig & Johannes Rebmann (ed. Thomas Henry Sparshott) (1887). A Nika-English Dictionary
- Rebman, John (= Johannes Rebmann) (1877). A Dictionary of the Kiniassa Language. Church Missionary Society (reprinted Gregg, 1968).
- Paas, Steven (2011). Johannes Rebmann: A Servant of God in Africa Before the Rise of Western Colonialism, 276 pages, Nűrnberg: Verlag fűr Theologie und Wissenschaft.
Remove ads
Viungo vya nje
- The Johannes Rebmann Foundation website Archived 2018-08-06 at the Wayback Machine
- Biography - operational area Archived 2018-08-06 at the Wayback Machine - Information and a map of Rebmann's area of Missionary operation in Africa
- New International Encyclopedia. 1905. .
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads