John Bauer

From Wikipedia, the free encyclopedia

John Bauer
Remove ads

John Bauer (4 Juni 1882 - 20 Novemba 1918) alikuwa mchoraji kutoka Uswidi. Yeye alisoma katika Chuo cha Sanaa mjini Stockholm. Picha zake unapatikana katika kitabu Bland tomtar och troll (Baina ya Mibilikimo na Majitu).

Thumb
Bauer alivyojichora mwenyewe

Mifano ya picha zake


Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu John Bauer kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads