John von Neumann
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
John von Neumann (28 Desemba 1903 - 8 Februari 1957) alikuwa mtaalamu wa hisabati nchini Marekani. Alizaliwa Budapest kama mtoto wa familia ya Wahungaria wa Kiyahudi aliyeonekana mapema kuwa na akili bora. Baada ya kumaliza shule alisoma uhandisi Berlin na Zürich akaendelea na msomo ya hisabati. Tangu 1926 alikuwa mwalimu na baadaye proofesa wa hisabati kwenye vyuo vikuu vya Berlin na Hamburg. 1930 alihamia Marekani alipokuwa profesa kwenye chuo kikuu cha Princeton.
Anahesabiwa kati ya wanahisabati muhimu zaidi ya karne ya 20. Hisabati yake yalisaidia kuelewa fizikia ya kwanta na kwa hiyo alishiriki katika kazi za kuanzisha bomu ya nyuklia wakati wa vita kuu ya pili ya dunia.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads