Hisabati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Hisabati
Remove ads

Hisabati ni somo linalohusika na idadi, upimaji na ukubwa wa vitu.

Thumb
Euklides, mwanahisabati wa Ugiriki wa Kale, karne ya 3 KK, alivyochorwa na Raffaello Sanzio.[1]

Kwa ujumla linahusika na miundo na vielezo.

Hisabati linaundwa na masomo mbalimbali, kama hesabu, jiometria na aljebra.

Neno hisabati katika lugha ya Kiswahili limetokana na neno la Kiarabu حسابات (halisi: hesabu (wingi)).

Somo hili huweza kutumika kutatua matatizo mbalimbali, lakini hasa ni la msingi katika uelewa wa ulimwengu kisayansi. Hivyo hutumiwa na masomo mengine kama Fizikia, Jiografia, Kemia katika mafunzo yake.

ThumbThumb
Mantiki ya kihisabatiNadharia ya setiNadharia ya kategoriaNadharia ya kuhesabu
Remove ads

Historia ya Hisabati

Mwanahisabati Mjerumani Carl Friedrich Gauss aliita hisabati malkia wa sayansi ambayo inasaidia katika uvumbuzi wa kisayansi. Somo la hisabati lilikita mizizi kwa sababu ya uchu wa wanasayansi kupenda kutatua shida kama vile za biashara, ugavi wa ardhi na masomo ya sayari na katika kukisia uzani.

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads