Kamchatka

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kamchatkamap
Remove ads

57°N 160°E

Thumb
Rasi ya Kamchatka kwenye mashariki ya Urusi
Thumb Thumb
Picha mbili za Kamchatka kutoka angani; kushoto: rasi wakati wa Juni, kuna mawingu mengi upande wa mashariki; kulia: rasi yote pamoja na bahari ya karibu imefunikwa kwa theluji na barafu wakati wa Januari.

Rasi ya Kamchatka (rus. полуо́стров Камча́тка poluostrov Kamchatka) ni rasi kwenye upande wa wa mashariki ya Urusi. Ina urefu wa kilomita 1,250 na eneo la 270,000 km².[1]

Imeenea katika Bahari Pasifiki ikitenganisha Bahari ya Okhotsk na Pasifiki kubwa.[2]

Volkeno za Kamchatka zimeandikishwa katika orodha ya UNESCO ya urithi wa dunia.

Kiutawala ni sehemu ya mkoa wa Kamchatka Krai mwenye wakazi 322,079. Zaidi ya nusu ya wakazi hawa wanaishi katika miji miwili ya Petropavlovsk-Kamchatsky (waakzi 179,526) na Yelizovo (38,980).

Remove ads

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads