Kanuni ya Mt. Benedikto

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kanuni ya Mt. Benedikto
Remove ads

Kanuni ya Mtakatifu Benedikto ni kati ya maandishi kwa ajili ya utawa yaliyoathiri zaidi historia ya Kanisa na ya ulimwengu kwa jumla, hasa Ulaya, kwa kuwa baada ya muda mfupi ilikuja kuongoza maisha ya wamonaki karibu wote wa Kanisa la magharibi.

Thumb
Regula, 1495
Thumb
Nakala ya karne ya 8.

Iliandikwa na Benedikto wa Nursia kwa kutumia kanuni za kitawa zilizotangulia, hasa Kanuni ya mwalimu, pamoja na mang'amuzi yake yaliyojaa busara.

Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads