Kanuni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kanuni ni taratibu zilizotungwa na binadamu ambazo ni lazima kutimizwa.

Taratibu hizi zinaweza kuwa za afya, uchumi, biashara, kilimo, dini n.k.

Mfano wa kanuni za afya:

  • Nawa mikono kabla au baada ya kula kwa maji safi na salama.
  • Nawa mikono kila baada ya kutoka chooni.
  • Osha tunda kwa maji safi kabla ya kulila.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads