Kareem Abdul-Jabbar

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kareem Abdul-Jabbar
Remove ads

Kareem Abdul-Jabbar alizaliwa Aprili 16 1947, ni mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu aliyecheza misimu 20 kwenye Chama cha Mpira wa Kikapu Marekani cha Marekani NBA. Aliwahi kuvunja rekodi ya kuwa mchezaji mwenye thamani mara 6. Alichukuliwa kama mchezaji bora wa muda wote[1][2]. Baada ya kumaliza kazi ya michezi aliendelea kutunga vitabu hasa kuhusu historia ya Wamarekani Weusi.[3]

Thumb
Abdul-Jabbar mwaka 2014
Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads